У нас вы можете посмотреть бесплатно DODOMA; Waliosoma MSALATO GIRLS kuanzia 1962 Warudi KWA kishindo KUTATUA kero ya MAJI.... или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kufuatia changamoto ya ukosefu wa maji iliyokuwa inawakabili wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana msalato jijini Dodoma umoja wa wanafunzi wa zamani walio hitimu masomo shuleni hapo wamekabidhi kisima cha maji chenye thamani ya shilingi milion 26. Makabidhiqno hayo yamefanyika mkoani humo kati ya umoja wa wanafunzi wa zamani wa shule ya msalato na uongozi wa shule hiyo, ambapo mwenyekiti wa mradi huo Fatuma Mwinyi amesema licha ya umoja huo kukafanikisha utekelezaji wa mradi huo bado wanakabiliwa na changamoto ya umeme ilikufanikisha usambazaji wa huduma ya maji shuleni hapo. @cityzonetv