У нас вы можете посмотреть бесплатно MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI|| Gradi ya nane|| или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
MAUDHUI KATIKA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI Maudhui ni jumla ya masuala katika kazi ya fasihi. 1. Uchochole- sofa alilolilalia Mabula lilikuwa kuukuu Makazi uk 6 Hapana mafuta Hapana televisheni uk 10 Dama kufukuziwa karo uk 24 2. Ulevi Vilabu uk 2 Mabula kushindwa kusimama wima uk 5 Kutokuwa nadhifu uk 12 Kupumbaza uk 15,16 Kuropokwa uk 17 Kupoteza kazi uk 21 3. Mabadiliiko Mabula analalamika hapati makaribisho kama zamani uk 3 . Mabadiliiko katika kiwiliwili cha Mabula Kupoteza kazi Dama kutoka uzunguni na kuja madongo poromoka, Maisha ya shuleni kwa Dama uk 24 k.v usafiri kwenda shuleni, uwezo wa kutekeleza majukumu ya kimsingi Mishi kukonda uk 28 Hali kuwa ngumu hata kusikia sukari katika hadithi uk 29, bei ya unga kushindana na ya petroli uk 3 Tabianchi( ukosefu wa mvua... Uk 30) Umiliki wa ardhi uk 3 Mabula kubadili nia ya kusaidia shambani. 3. Asasi ya ndoa Mabula na Mishi 4. Ubabedume Kutaka kufanyiwa kila kitu k.v makaribisho, mapishi na kuandaliwa, kufukuziwa watoto 5. Migogoro Migogoro baina ya wanandoa- onyesho la kwanza, sehemu ya kwanza 6. Elimu Elimu ya kukariri ila hapana ajira uk 30 6. Udaku Dama kuelezwa wazazi wake walikuwa wakifukuzana 7. Woga Mishi ana wasiwasi 8. Uongozi mbaya Kuhalalishwa kwa pombe uk 17 Umeme kupotea kusingiziwa kwa ukame uk 17 9. Dini Mishi kumwambia Mabula Mungu angewalipia uk 21 Mishi kushukuru Mungu kwa kumwezeshea Dama Temba kusema ya Mungu ni mengi uk 28 Bi Buba kushukuru Mola kwa Mabula uk 32 10. Malezi na uwajibikaji Mishi kumdekeza Dama kwa kuwa palikuwa na yaya uk 22 Mishi kushukuru Dana kwa kumsaidia kutekeleza shughuli ndogondogo 11. Upendo Mishi na Dama kukumbatiana uk 25 12. Uzalendo Mabula kupigania watu wao uk 26 13. Udhanaishaji Mabula kukosa tumaini maishani baada ya kupigwa kalamu na kulambishwa sakafu uk 31 Mishi kukosa tumaini la ajira licha ya kisomo chake kwani kupata riziki kunatokana na kujuana uk 31 14. Ukoloni mamboleo Licha ya wazee kupigania usawa ila sasa matunda hayo si fahari ya kila mtu uk 31 Kujilimbikizia mali ya umma Kuwa watumwa katika nchi yao uk 40 15. Ajira Usaili wa kazi uk 35 16. Ubadhirifu wa mali 17. Nafasi ya mwanamke katika jamii 18. Teknolojia 19. Utu na ukarimu 20. Utetezi wa haki 21. Stahamala 22. Unyanyasaji 23. Uwongo 24. Ufisadi