У нас вы можете посмотреть бесплатно SIMBA TV | Ahmed Ally asema wanalitaka kombe la CRDB na NBC, aeleza walivyojipanga kuikabili B19 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
SIMBA TV | ‘‘……Simba mpya imezaliwa pale Zanzibar.’’ Ahmed Ally, Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba akizungumzia mechi iliyopita ya dabi ya Kariakoo na kuelekea mechi inayofuata dhidi ya B19 katika michuano ya kombe la CRDB Bank. Amesema shabaha ya klabu hiyo ni kuchukua kombe la michuano hiyo na kwamba wamejiandaa vizuri kuwakabiliana na wapinzani hao. Aidha Ahmed ameweka wazi gharama za viingilio kuelekea mchezo huo utakaopigwa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Mahojiano yote yako kwenye ukurasa wetu wa YouTube @azamtvtz (Imeandaliwa na Katherini Shirima) Mhariri|@rajjmsangi