У нас вы можете посмотреть бесплатно Habari za UN: UNCDF na nishati salama Ruvuma Tanzania или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili Machache kati ya mengi tuliyokuandalia hii leo kutoka UN WHO yapendekeza dawa mbili mpya za kutibu wagonjwa wa COVID-19 ambazo ni Baricitinib ya kumeza kwa ajili ya kutibu wagonjwa mahututi wa COVID-19 na nyingine ni Sotrovimab ya sindano ambayo ni kwa ajili ya wagonjwa wasio katika hali mbaya sana. Na katika mada kwa kina tunaelekea mkoani Ruvuma nchini Tanzania kumulika mradi wa nishati salama uliofanikishwa na Umoja wa Mataifa kwa kuwaunga mkono wenyeji.