У нас вы можете посмотреть бесплатно FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA JIJI LA TANGA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Halmashauri ya jiji la Tanga imesema imedhamiria kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuinua uchumi wa wananchi wa jiji Hilo kupitia uwekezaji wa Aina mbalimbali ikiwemo viwanda,kilimo,uchumi wa bluu,uwanja wa ndege,Bomba la mafuta ghafi,eneo linalofaa Kwa ufugaji pamoja na bandari Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa jiji la Tanga dkt Sipora Liana wakati Akizungumza na waandishi WA habari ofisini kwake juu ya dhamira ya kutangaza fursa ZA uwekezaji zilizopo