У нас вы можете посмотреть бесплатно ''WASOMA MITA ZA MAJI MNAONGEZA BILI'' - NAIBU WAZIRI WA MAJI JUMA AWESO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#wizarayamaji#Jumaaweso#Duwasa#Dawasco Serikali imewaagiza Wakurugenzi wa mamlaka zote za maji nchini wahakikishe watumiaji wa maji wanashirikishwa kikamilifu katika usomaji wa mita ili kutambua gharama halisi wanazopaswa kulipa na kuepuka kubambikizwa bili kubwa kuliko matumizi. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua miradi ya maji katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.