У нас вы можете посмотреть бесплатно Kenya Vs Uganda? Kauli Ya Museveni Yazua Taharuki — Wakenya Wamlipua TikTok! или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kenya Vs Uganda? Kauli ya Rais Yoweri Museveni kudai kwamba Bahari ya Hindi ya Kenya ni mali ya Uganda imezua mjadala mkubwa, kelele, vichekesho na maswali mazito mitandaoni. Katika video hii tunakuonyesha majibu ya Wakenya kupitia video 8 tofauti—kutoka kwa vijana wa TikTok, kina mama, wanaharakati wa mtandaoni, mpaka walimu wa siasa mitandaoni—wakijibu kauli ya Museveni na hata vitisho vya Mkuu wa Jeshi wa Uganda. Hii ni drama mpya ya East Africa inayogusa siasa, uongozi, usalama wa mipaka na pia mtazamo wa wananchi kuhusu mgogoro huu wa “Bahari ya Hindi”. Tumeikusanya kwa ufupi na kwa ucheshi ili upate maoni yote kwa undani. Katika video utapata: – Kauli kamili ya Museveni kuhusu Bahari ya Hindi – Wakenya wakiitafsiri kama mchezo wa kisiasa – Vichekesho na kejeli za TikTok – Maswali makali ya kina mama wa Kenya – Swali kubwa: Je, Museveni yuko serious au ni siasa za mkondo wa juu? – Kauli ya mwana wa Museveni akipatia Kenya saa 8 menyerende bahari Tazama hadi mwisho ili kuelewa kwa nini Kenya na Uganda zinatrend kote mtandaoni. Na usisahau kuacha comment: Unadhani Museveni alikuwa anatania… au hii ni onyo la kweli? #KenyaVsUganda #Museveni #BahariYaHindi #EastAfricaNews #MizukaMedia #KenyaTanzaniaUganda