У нас вы можете посмотреть бесплатно Mila ya tohara yageuka shubiri kwa wamaasai, yachochea ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
#tohara #maasai #tanzania Hii leo Haki TV imefanya mahojiano maalum na Askofu Julias Sokoine na Paul Pasoro kutoka jamii ya kimaasai Wilaya ya Kilindi mkoa wa Tanga, ambapo katika mahojiano hayo wahojiwa wameibua masahibu/ ukatili wanaopitia kutokana na ‘Utekelezaji wa mila za tohara kwa waamasai. Ukatili huo unafanywa na wazee wa mila na Morani wa kimaasasi kwa mmaasai yeyote ambaye atakiuka taratibu za #Tohara na kumtahiri mtoto wake hospitalini au nje ya muda uliokubaliwa na waamsai, na moja ya ukatili unaofanywa ni vipigo, udhalilishaji, kuchoma nyumba moto, kupelekwa porini, kutishiwa kuuwawa na mpaka sasa kuna matukio manne ya ukatili