У нас вы можете посмотреть бесплатно Polisi wanachunguza kisa cha moto uliozuka shuleni Riokindo, Kisii или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Maafisa wa polisi katika eneo la Kenyenya wanachunguza kisa cha moto uliozuka jana jioni katika shule ya wasichana wa Riokindo na kuteketeza bweni lilikokuwa linawasitiri wanafunzi mia tano. Wanafunzi hao walivumilia baridi usiku kucha kufuatia kisa hicho cha moto. baadhi ya wanafunzi walijeruhiwa katika tukio hilo na kupelekwa kwenye hospitali ya kenyenye kwa matibabu. inasadikika kuwa moto huo ulisababishwa na hitilafu za nguvu za umeme. chrispine otieno anaungana nasi mubashara kwa taarifa kamili.