У нас вы можете посмотреть бесплатно Je, Kimilili Inaongozwa Vibaya? Raphael Wabomba Asema | Powerline Show EP 4 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika Powerline Show – Episode 4, tunazungumza na Raphael Wabomba, MCA aspirant wa Kimilili, kuhusu swali linalowasumbua wananchi wengi: Je, Kimilili inaongozwa vibaya? Kupitia mahojiano ya wazi kwa Kiswahili, Wabomba anaeleza: Changamoto kuu zinazokabili Kimilili kwa sasa Mapungufu ya uongozi wa sasa kama anavyoona Maono na vipaumbele vyake kwa maendeleo ya wadi Alichopanga kufanya tofauti endapo atachaguliwa Hakuna matusi. Hakuna propaganda. Ni mazungumzo ya moja kwa moja kwa manufaa ya wananchi wa Kimilili. 📺 Powerline Show EP 4 📌 Tazama, sikiliza, na ujipange kama mwananchi. #KenyaPolitics #SiasaZaKenya #uongozi #SautiYaWananchi #leadershipmatters #PowerlineShow #PowerlineShowEP4 #ArnyMedia