У нас вы можете посмотреть бесплатно CHEKECHE | Kauli za viongozi wakubwa kuhusu makubaliano ya amani Gaza zinamaanisha uhalisia gani? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Baada ya kutangazwa kwa muafaka wa kusitishwa mgogoro wa Hamas na Israel huko Gaza viongozi wakubwa wanne wametoa kauli akiwemo waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu. Viongozi wote wakitarajia amani ya kudumu kwenye eneo la Gaza lakini CHEKECHE imetaka kufahamu yaliyomo kwenye muafaka uliotajwa na tafsiri ya kivitendo kwa ajili ya kupatikana kwa amani ya kweli. Moses Mohamed yuko na Francis Ibrahim kuangazia hilo.