У нас вы можете посмотреть бесплатно Lesson 22: AINA ZA VIRAI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kipindi hiki kimefafanua na kueleza aina zote tano za virai zikiwemo: Kirai Nomino (KN/RN), Kirai Kitenzi (KT/RT), Kirai Kivumishi (KV/RV), Kirai Kielezi (KE/RE) na Kirai Kihusishi (KH/RH). Maelezo haya yametolewa kwa kuambatanishwa na mifano maridhawa itakayo rahisisha uelewa wa dhana hii. Tamatini kipindi hiki kimewanoa bongo wanafunzi kwa kuwapa mifano ya maswali yanayotarajiwa kutahiniwa na yaliyokwishatahiniwa katika mtihani wa kitaifa wa KCSE. Maswali haya yatawasaidia kupiga darubini, kujiandaa na kuondoa uoga katika mtihani.