У нас вы можете посмотреть бесплатно Lesson 57: Isimujamii: Sifa za lugha или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kipindi hiki kimefafanua maana ya lugha na sifa za lugha, zikiwemo; Lugha ni mfumo wa sauti nasibu, Lugha ni mfumo wa ishara nasibu,lugha hutumiwa na wanadamu pekee, Lugha hutumiwa katika mawasiliano, Lugha huzaliwa, Lugha hukua, Lugha hufa, Lugha huweza kuathiri au kuathiriwa na lugha nyingine, Lugha ni mali ya jamii, Lugha hubadilika na Lugha zote ni sawa. Maelezo haya yameambatanishwa na picha na mifano maridhawa ili kurahisisha uelewa wa mwanafunzi.