У нас вы можете посмотреть бесплатно WIZARA YA HABARI YAWEKA KIPAUMBELE KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA UTANGAZAJI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa habari sanaa utamaduni na michezo Mhe. Riziki Pembe Juma amesema wizara ya habari katika kipindi cha siku 100 za Dkt. Mwinyi imekuwa na vipaumbe mbalimbali ndani ya wizara hiyo.Amesema kuwa wizara Kuimarisha miundombinu ya habari na utangazaji kwa kuendeleza ununuzi wa vifaa vya kisasa, kuboresha mitambo ya kurushia matangazo na kutekeleza miradi ya ujenzi wa ofisi za taasisi zilizo chini ya Wizara.