У нас вы можете посмотреть бесплатно Malecela awavunja watu mbavu nyumbani kwake "Ninavyokupenda nikikuambia maneno mabaya jua nimelewa" или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wakati wa sherehe iliyofanyika nyumbani kwake leo wakati akitoa neno la shukrani, Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela amewavunja mbavu waliohudhuria alipomsimamisha mke wake Anne Kilango Malecela na kumwambia anavyompenda akimsikia akimsemea maneno mabaya mahali basi aelewe kwamba atakuwa amelewa. Malecela ameyasema hayo wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 90 tangu Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela azaliwe iliyofannyika nyumbani kwake Kilimani jijini Dodoma leo Jumapili, Aprili 21, 2024 ambapo Malecela alizaliwa Aprili 19, 1934.