У нас вы можете посмотреть бесплатно Hospitali ya Mediheal mashakani kwa tuhuma za biashara haramu ya uuzaji figo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hospitali ya Mediheal imejipata mashakani baada ya ripoti ya kamati maalum iliyobuniwa kuchunguza madai ya biashara haramu ya figo kusema kuwa kuna shaka huenda wanahusika na kupendekeza uchunguzi zaidi kufanywa. Kamati hiyo iliyo wajumuisha madaktari, maafisa wa wizara ya afya na wasomi iliibua masuali kuhusu namna hospitali hiyo huendesha utoaji wa figo bila hata kuzingatia uhusiano wa mtoaji na anayepokezwa ambao ni raia wa kigeni. Gatete Njoroge ametuandalia taarifa hii kwa kina