У нас вы можете посмотреть бесплатно Uvumi wa wanaume kupoteza sehemu zao za siri kwa kusalimiana kwa mkono mjini Kindu, DRC ni uongo или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Tangu katikati ya Januari 2026, mji wa Kindu, kule DRC, umekumbwa na wimbi la hofu lililochochewa na uvumi wa madai ya kupotea au wizi wa sehemu za siri za wanaume kwa njia rahisi ya kugusana. Ni katika muktadha huu ambapo video inasambaa kwenye Facebook, TikTok, na katika vikundi kadhaa vya WhatsApp, vilivyowasilishwa kama sehemu ya matangazo ya habari ya France 24. France 24 haijawahi kutangaza hili #drc #congo