У нас вы можете посмотреть бесплатно Kiswahili chetu, Umoja wetu - Siku ya Kiswahili Duniani 2023 (Sehemu ya 2) или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Katika sehemu hii ya pili ya documentary ya "KISWAKINGE - Kizungumkuti cha Elimu Tanzania," Rungwe Mtetezi anazungumza na mtaalamu wa fasihi ya Kiswahili na historia, Profesa Aldin Mutembei (PhD), ambaye anafafanua kuhusu umuhimu wa kutumia Kiswahili kama lugha ya Watanzania kujipatia maarifa. Huku Mwassa Jingi, ambaye ni mwandishi wa habari na mwanasheria mbobezi, akitetea matumizi ya Kiingereza kama lugha ya kufundishia kwenye mtaala wa elimu nchini Tanzania. Credits for 2 footage in this episode go to the following with great appreciation: ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ Free Videos - No Copyright / @encoreelements ▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬ ➤ VIDEO Source: FreeVideosForYoutubers: / @freevideosforyou... Busy street: • People Walking • ...