У нас вы можете посмотреть бесплатно AUWAWA NA TEMBO WILAYANI KOROGWE, CCM TANGA YAWAFARIJI WAFIWA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ikiwa ni siku chache zimepita toka mwananchi mwenzao Husna Khamis (27) kuuwawa kwa kushambuliwa na tembo, Wananchi wa Kijiji cha Kijungumoto kilichopo kata ya Mashewa halmashauri ya wilaya ya Korogwe wamemuomba mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdulrahman Abdallah kuwasaidia kupaza sauti kwenye mamlaka za juu ili waweze kuondoshewa changamoto ya kuvamiwa na tembo ambao pia wanaharibu mazao ikiwemo mkonge.