У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Ruto apigia upato ushirikiano kati ya Kenya na mataifa mengine или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais William Ruto amepigia upato uhusiano mwema baina ya Kenya na mataifa mengine hasa katika ushirikiano wa kibiashara, uwekezaji pamoja na maswala ya kiusalama. Rais akiomba ushirikiano kati ya sekta za kibinafsi na umma katika sekta za kilimo, maji na kawi. Aidha, ameendelea kusisistiza Bara la Afrika kupewa nafasi za kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Fred Wambua na taarifa hiyo.