У нас вы можете посмотреть бесплатно 271. Biashara na hukumu zake (1) - Sheikh Abdul Majid или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Uislamu umeweka sharia na kanuni katika mambo ya biashara ili kuyalinda masilahi ya wanunuzi na wauzaji. Zipo biashara halali, haramu, makruhu n.k. Ni sunna iliyosisitizwa kujihusisha na biashara. Iangaliwe tu biashara isiwe ya haramu. Allah ameharamisha kula mali za wengine kwa ubatili. Inafaa kuchukua ridhaa ya mwenye mali ndipo mali itumike. Anapotimiza mtu masharti ya afya, akili, mtaji na nafasi na hana njia nyingine ya kujikimu kimaisha ila kutegemea wengine, hapa kufanya biashara ni wajibu kwake.