У нас вы можете посмотреть бесплатно SHAJARA | Mhadhiri ashauri matumizi ya mito, mabwawa kupunguza uhaba wa maji dar es salaam или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa maji katika baadhi ya maeneo ya Dar es Salaam, Mhandisi wa maji na Mhadhiri wa Chuo Cha Maji, Livingston Swilla, amesema matumizi ya mito iliyo karibu na jiji pamoja na uchimbaji wa mabwawa ya kuhifadhi maji ni hatua za haraka za kupunguza tatizo hilo. Amesema vyanzo hivyo vinaweza kusaidia kuongeza upatikanaji wa maji wakati suluhisho la kudumu la uzalishaji na usambazaji wa maji likiendelea kutekelezwa, huku akisisitiza umuhimu wa mipango miji kulinda mabonde na maeneo ya vyanzo vya maji.