У нас вы можете посмотреть бесплатно Wachunguzi wafika Mosop, waanza uchunguzi wa ajali ya ndege Nandi или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Uchunguzi wa ajali ya ndege iliyowaua watu sita akiwemo Mbunge wa Emurua Dikirr Johanna Ng'eno umeanza rasmi huku wachunguzi leo wakifika eneo la tukio. Wataalam na wachunguzi wa ajali za ndege wamekusanya vifaa na mabaki ya ndege kutoka eneo la tukio. Na kama Emily Chebet anavyoarifu, wanaoshuhudia wameripoti namna ndege hiyo ilitua kwa muda karibu na eneo la tukio kabla ya kuanguka dakika chache baadaye