У нас вы можете посмотреть бесплатно "NAIBU WAZIRI MKUU HIVI MNATUONAJE? BITEKO ALIVYOMJIBU MWANANCHI WA MBAGALA ALIYEMLALAMIKIA UMEME или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesimulia kisa cha mteja wa TANESCO Mbagala aliyefarijika baada ya kuelimishwa kuhusu Changamoto za upatikanaji wa umeme. Dkt. Biteko ametoa simulizi hiyo Jijini Dar es Salaam hivi karibuni wakati akifungua Kongamano la Majadiliano ya Biashara na Uwekezaji kati ya Serikali na Sekta Binafsi Mwaka 2024 na Mkutano Mkuu wa 49 wa Mwaka 2024 wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA).