У нас вы можете посмотреть бесплатно BARAKA ZA MBINGUNI NA HERI 7 - UFUNUO WA YOHANA Sura ya 22 (Na Askofu Dr. Fredrick Simon) или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
BARAKA ZA MBINGUNI NA HERI 7 - UFUNUO WA YOHANA Sura ya 22 (Na Askofu Dr. Fredrick Simon) Sura ya 22 HITIMISHO 1. BARAKA ZA MBINGUNI i. Maji ya uzima yang’’ayo -22:1 ii. Mti wa uzima uzaao matunda aina kumi na mbili, na majani yake huwaponya mataifa 22:2 iii. Hakuna laana tena, watumwa wa Mungu tutamtumikia – 22:3 iv. Tutamwona Mungu uso wake – 22:4 v. Hakuna usiku tena, hatutahitaji taa wala nuru ya jua. vi. Tutatawala milele na milele – 22:5. 2. ’HERI’ 7 KATIKA UFUNUO WA YOHANA. Kitabu hiki cha Ufunuo wa Yohana kinataja aina Saba za HERI. i. 1:3 Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo ii. 14:13 Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa iii. 16:15. Heri akeshaye na kuyatunza mavazi yake asiende uchi iv. 19:9. Heri walioalikwa karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo v. 20:6. Heri na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza vi. 22:7 .Heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki vii. 22:14. Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima. 3. FAHAMU MAMBO 3 YA KUHITIMISHA i. 22:10-13. Wakati wa kutimizwa umekaribia na Yesu kuja kulipa ujira kwa kila mtu kama kazi yake ilivyo. ii. 22:16-17. Yesu aliye nyota ya asubuhi (kwa kilatini ni LUCIFER) . Ndiye aliyemtuma malaika wake kuleta ufunuo huu, na ufikie makanisa. iii. 22:18-21. Mtu yeyote asibadili chochote kilichomo katika kitabu hiki, atakayeongeza au kupunguza chochote, ataadhibiwa. Usikwepe! Yesu YUAJA UPESI. 22:21. “Neema ya Bwana Yesu, na iwe pamoja nanyi nyote, AMINI” MARANTHA #ufunuowayohana #suraya22 #fredricksimon #baraka #mbinguni #heri