У нас вы можете посмотреть бесплатно MAONI: Uchaguzi wa Marekani- Ni Kamala Harris au Donald Trump? или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Uchaguzi wa Marekani mwaka 2024 unawakutanisha Kamala Harris na Donald Trump Kwenye kinyang'anyiro. Takriban watu milioni 240 wanatarajiwa kupiga kura katika uchaguzi huo. Marekani inakwenda katika uchaguzi katika kipindi ambacho ulimwengu unakabiliwa na mambo mengi magumu ikiwemo, kupanuka kwa Mzozo wa Mashiriki ya Kati, Vita vya Urusi na Ukraine, mizozo kadha wa kadha kule Afrika ukiwemo wa Sudan lakini pia majanga ya kiafya na madhila ya mabadiliko ya tabia nchi. Je ni masuala yapi yatawashawishi wapiga kura? Mengi ni kwenye kipindi cha Maoni mbele ya meza ya duara. Nahodha ni Sudi Mnette. #DWKiswahili #DWMaoni