У нас вы можете посмотреть бесплатно WANANCHI WA BUCHOSA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAJENGEA CHUO CHA UFUNDI STADI (VETA) или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amevuka milima na mabonde kufika kwenye Kijiji cha Kayenze kilicho pembezoni mwa Mji wa Nyegunge kwenye halmashauri ya Buchosa kukagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA). Akizungumza na wananchi kwenye eneo hilo la ujenzi Mhe. Mkuu wa Mkoa amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zaidi ya Bilioni 3 kujenga chuo hicho ambapo amebainisha kuwa kitawajenga kiufundi katika fani mbalimbali vijana wa Buchosa na wilaya ya Sengerema kwa ujumla.