У нас вы можете посмотреть бесплатно BARABARA YA USAGARA - MWANZA MJINI (KM 25) KUJENGWA NJIA NNE или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu kutoka Mwanza Mjini hadi Usagara kwa kuijenga kwa njia nne. Ulega amesema hayo mkoani Mwanza wakati akizungumza na wananchi wa Buhongwa na kuongeza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempa maelekezo ya kutafuta mkandarasi kwa ajili ya ujenzi huo ambapo Barabara mbili zitatoka Mwanza Mjini kuelekea Usagara na nyingine mbili kutoka Usagara kwenda Mwanza Mjini.