У нас вы можете посмотреть бесплатно MBEYA TDFAA FESTIVAL AWARDS или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mh. Beno Malisa (Mkuu wa wilaya ya Mbeya) awasilisha ushauri wa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Juma Zuberi Homera kwa waandaaji wa filamu nchini wakati wa ufunguzi wa hafla ya utoaji wa tuzo za filamu iliyofanyika katika Ukumbi wa TUGHIMBE, Mafiati Mkoa wa Mbeya - MEI 23, 2024. Alieleza kuwa, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya - Mh. Juma zuberi Homera amewataka wasanii na waandaaji wa filamu kuongeza ubora katika kazi zao na kuzingatia maadili ya kitanzania.