У нас вы можете посмотреть бесплатно Mavunde Amwaga Machozi Akitangaza Kugombea Jimbo la Mtumba или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde, amewashukuru wakazi wa Dodoma mjini kwa kumpa heshima ya kuwawakilisha kwa kwenye nafasi ya ubunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 10. Mavunde ametoa shukrani hizo leo Mei 15, 2025, wakati akitangza kuwa kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2025, atagombea katika jimbo la Mtumba, ambalo limetokana na kugawanywa kwa jimbo la Dodoma Mjini. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER: / thechanzo INSTAGRAM: / thechanzo FACEBOOK: / thechanzo TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.