У нас вы можете посмотреть бесплатно Kimeumana! Varangati la Mpina Bungeni, amuibua MAKONDA; acharurana SAKATA la kuongeza Makalio или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina ameibuka bungeni la suala la upasuaji wa kuongeza na makalio unaofanywa na Hospitali ya Mlongazila ya jijini Dar es Salaam, ambapo amesema ni kinyume na Sheria na Sera ya Afya nchini. Kuanza kutolewa kwa huduma hiyo ilitangazwa Oktoba 10, mwaka jana na Mkuu wa Idara ya Upasuaji wa Hospitali ya Mlongazila Dk Eric Muhumba. Akichangia taarifa ya Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi leo Jumatatu Februari 12, 2024, Mpina amesema operesheni ya kimapambo sio ya mtu anachangamoto yoyote ya kiafya.