У нас вы можете посмотреть бесплатно Wanabodaboda wapinga kuhusishwa na matumizi mabaya ya fedha za kaunti или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Maswali yanaendelea kuibuliwa kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma katika Kaunti ya Embu, uchunguzi ukibaini kuwa shilingi milioni kumi zilizotengwa maendeleo ya viwanda zilitumiwa kugharamia mkutano wa kisiasa. Pesa hizo zilitumiwA kugharamai mkutano wa kuwawezesha wahudumu wa bodaboda kaunti ya Embu. Gavana wa Embu, Cecily Mbarire, amekiri kuidhinisha utoaji wa fedha hizo huku maseneta wakionya kuhusu utumizi mbaya wa fedha za maendeleo. Katika kaunti hiyo wahudumu wa bodaboda wameandamana wakipinga kuhusishwa na Sakata hiyo