У нас вы можете посмотреть бесплатно FAMILIA YA HECHE YAKUTANA NA KUTOA TAMKO ZITO или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
"KUFIKIA KESHO SAA NNE ASUBUHI HECHE HAJAPATIKANA TUSILAUMIANE" Akizungumza kwa niaba ya familia mdogo wa John Wegesa Heche ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa mara Mwl. Chacha Heche amesema mpaka sasa ni zaidi ya masaa ishirini na nane (28) familia hawajapata taarifa yoyote ya wapi alipo kaka yao John Heche ambaye ni makamo Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania bara tangu alipokamatwa jana Oktoba 22 nje ya viunga vya mahakama jijini Dar es salaam akiwa amewasili kuhudhuria kesi ya madai inayoendelea iliyofunguliwa na wanachama wa Chadema Zanzibar. Chacha amesema familia imefuatilia kila idara, kila kituo ikimtafuta John Heche alipo licha ya majibu ya jeshi la Polisi mara tu baada ya kukamtwa kiongozi huyo na kusema wamemsafirisha makamo wa CHADEMA John Heche kuja mkoani mara lakini mpaka sasa hajafikishwa mara wala hawasemi yuko wapi. Akizungumza kwa uchungu na masikito Chacha Heche amesema katika hili hawajaumua kutumia umma kumdai ndugu yao lakini familia imesema ifikapo Oktoba 24 saa nne asubuhi bila majibu ya wapi alipo ndugu yao huenda ikabaki historia juu ya maamuzi watakayochukua. Tembelea YouTube Channel ya Jambo Tv kwa video kamili.