У нас вы можете посмотреть бесплатно BARUA ZA KUITWA KAZINI SASAHIVI ZINATOLEWA KIDIGITALI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini, Bi. Lynn Chawala amesema kuwa wasailiwa wote ambao hufaulu usaili katika hatua ya usaili wa mahojiano barua zao za kuitwa kazini kwa sasa hutolewa kwa njia ya kidigitali kwenye akaunti zao za Ajira Portal, na kuwaondolea gharama wasailiwa kwani awali msailiwa alilazimika kufata barua hiyo jijini Dodoma katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira. Bi. Lynn Chawala aliyasema hayo katika mahojiano na kituo cha Radio cha Imaan FM Mkoani Morogoro