У нас вы можете посмотреть бесплатно Miili ya wafanyakazi wa Tanesco waliofariki katika ajali ya gari Manyara yaagwa или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Wilaya ya Babati Lazaro Twange na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Caroline Mthapula wameongoza mamia ya wananchi kuaga miili ya watumishi Watatu wa shirika la nishati ya umeme Tanesco waliofariki katika ajali ya gari Septemba 19 katika eneo la Logia wakielekea kuwasha umeme. Ajali hiyo imesababisha Vifo vya watumishi hao watu wa Tatu na wengine 3 kujeruhiwa na mpaka sasa wanaendelea Vizuri. Hata hivyo bada ya kuagwa na Mamia ya wakazi wa Mji wa Babati Miili hiyo imesafairishwa kuelekea katika Mikoa tofauti ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro, Lindi na Mara kwa ajili ya maziko.