У нас вы можете посмотреть бесплатно Simulizi ya kusisimua ya aliyeongoza kwa ufaulu Udom; alikuwa akiuza karanga Mbeya, rafiki wa kiume или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Nevi Nzowa ambaye ni Mwanafunzi wa Shahada ya Sayansi katika Hisabati na Takwimu kutoka Ndaki ya Sayansi Asilia na Hisabati kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) aliyeongoza kwa ufaulu baada ya kupata GPA ya 4.5 na kuwa mwanafunzi aliyefaulu zaidi akisimulia maisha yake tangu afike chuoni hapo na mara baada ya kumaliza masomo yake ambapo alikuwa akifanya biashara ya kununua karanga vijijini na kuuza mjini Mbeya. Nzolwa amehitimu Mafunzo yake Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) leo Alhamisi, Novemba 30, 2023 kwenye mahafali yaliyofanyika jijini Dodoma.