У нас вы можете посмотреть бесплатно UTIAJI WA SAINI WA MIKATABA YA UJENZI WA BARABARA ZA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM 2023. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo amewataka wakandarasi waliopata tenda za Ujenzi wa barabara ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dar Es salaa kuhakikisha wanajenga kwa Viwango ili kuendana na thamani ya pesa iliyotolewa na pia kufanikisha miradi hiyo ndani ya muda uliotengwa. Jumla ya Tsh Bilioni 5.8 zimekwishatolewa kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa Barabara pamoja na Box caravat katika mitaa mbali mbali ya Halmashauri ya Jiji la Dsm.