У нас вы можете посмотреть бесплатно FURSA DK. SAMIA KUWA KINARA NISHATI SAFI ZAANZA KUMWAGIKA или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Hatua ya Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi, imetajwa kufungua milango ya uwekezaji wa teknolojia katika sekta hiyo, ikiwemo kuanza kutumika kwa magari ya nishati ya umeme yatakayopunguza athari za mazingira nchini. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba, Dk. Samia amekuwa na msimamo na maono makubwa katika sekta hiyo na mwaka 2022 alizindua mkakati wa matumizi ya nishati safi nchini.