У нас вы можете посмотреть бесплатно Rais Ruto aendelea kushawishi Mlima Kenya или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Rais William Ruto ameashiria kwamba chama tawala cha UDA kitashauriana na kile cha ODM kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao na kukubaliana kuhusu kubuniwa kwa utawala ujao. Akizungumza alipokutana na viongozi wa mashinani kutoka kaunti ya Nyeri katika ikulu ndogo ya Sagana, Ruto alikariri kwamba utawala ujao utakuwa jumuishi ili kuhakikisha kwamba kila sehemu ya nchi inanufaika. Na jinsi mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anavyotuarifu rais alisema wako tayari na viongozi wenye maono wazi na kuwapuuzilia mbali wale wanaoeneza migawanyiko ya kikabila kabla ya uchaguzi Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: / kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive