У нас вы можете посмотреть бесплатно Dodoma Jiji 0-2 Yanga | Highlights | NBC Premier League 15/05/2022 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Yanga SC imeitandika Dodoma Jiji mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo mei 15, 2022 kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamrfungwa na Dickson Ambundo dakika ya 13 na lingine la kujifunga kutoka kwa golikipa wa Dodoma Jiji, Mohamed Yusuph dakika ya 35. Katika mchezo huo pia Dodoma Jiji wamepata pigo kwa kiungo wao Hassan Nassor Maulid kutolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu kiungo wa Yanga, Yannick Bangala.