У нас вы можете посмотреть бесплатно Burundi yawarejesha nyumbani wanajeshi wa DRC или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Serikali ya Burundi imeanza rasmi mchakato wa kuwarejesha nyumbani wanajeshi na maafisa wa polisi wa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo, ambao walikimbia baada ya wasi wa M23 kuteka maeneo kadhaa ya mashariki mwa Congo. Tayari wanajeshi 60 wamefikishwa mahakamani huko Lubero Kaskazini mwa mji wa Goma, kwa kutoroka mapigano Mashariki mwa DRC. Mamia ya maafisa hao walikimbilia Burundi kama wakimbizi lakini walipewa hifadhi katika kambi maalum iliyoko katika mji wa Muravya, kilomita 50 kutoka mjini Bujumbura.