У нас вы можете посмотреть бесплатно Utaratibu & Vigezo vya 'Kuadopt' Mtoto Tanzania | Stella Shao, Afisa Ustawi wa Jamii Ubungo | Sentro или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
"Unapoomba malezi ya kambo kwenye vituo vya watoto yatima (Makao) lazima kwenye barua yako ya maombi utaandika unataka mtoto wa kike au kiume na awe na umri gani. Lakini hautatakiwa kumchagua huyo Mtoto Hadi ule mchakato wa kwanza ukamilike kuhusu mazingira ambayo anatakiwa aishi huyo Mtoto na document hizo zitatumwa Dodoma kwa Kamishna. Akiridhishwa nazo atakuruhusu kwenda kumtambua Mtoto kwenye makao yoyote iwe Dar es Salaam au mkoa mwingine au Tanzania nzima. Baada ya kumchukua Mtoto Afisa Ustawi atamtembelea huyo Mtoto nyumbani kwako na kujua maendeleo yake" Baada ya hapo Afisa Ustawi atatuma taarifa kwa Kamishna na wewe utaweza kufanya adoption kule mahakamani kwa huyo mtoto. Kule mahakamani ataingia Mwanasheria na Afisa Ustawi ambaye ameteuliwa rasmi kwa ajili ya kuingia mahakamani" Sehemu ambayo inaonekana kuwa hii adoption ni gharama ni pale mahakamani ambapo Mwanasheria mnapoelewana bei. Kuna Mwanasheria mwingine anaweza kukwambia bei Mil. Moja au Mil. Moja na Nusu" RITA wanakwenda mwishoni kabisa baada ya kumaliza process zote za mahakamani" Stella Shao, Afisa Ustawi wa Jamii, Ubungo. #SentroCloudsTv