У нас вы можете посмотреть бесплатно KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYERS 21 NOVEMBER 2025 или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYERS 21 NOVEMBER 2025 MAFUNGO YA KUMALIZA MWAKA 2025 NA KUOMBEA MWAKA 2026 (siku ya 19) MADA: "FROM HOW TO WHO" (INAWEZEKANA) NENO KUU: "HOW SHALL THIS BE?" (LITAKUWAJE NENO HILI?) Luka 1 : 34b UJUMBE WA LEO: UMUHIMU WA REHEMA NA NEEMA ZA MUNGU KWENYE UREJESHO WA KIZAZI KUOMBEA KANISA NA VYOMBO VYAKE 1 Wakorintho 12 : 12 "Maana kama vile mwili ni mmoja, nao una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili ule, navyo ni vingi, ni mwili mmoja; vivyo hivyo na Kristo.” Ayubu 5 : 25 Tena utajua ya kwamba uzao wako utakuwa mwingi, Na vizazi vyako watakuwa kama nyasi za nchi. Isaya 66 : 22 Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa. REHEMA NA NEEMA ZINAACHILIA KIBALI CHA UZAO WAKO KUPIGANIWA NA MBINGU KATIKATI YA WALE WALIOBEBA CHUKI,FITINA NA HASIRA DHIDI YAO ...UZAO WAKO UTAMILIKI MLANGO WA ADUI ...katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki mlango wa adui zao; .... KAMA MUNGU WA BABA YANGU ....MIKONO MITUPU Mwanzo 31 : 42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na Hofu ya Isaka, hangalikuwa pamoja nami, hakika sasa ungalinifukuza mikono mitupu. Mateso yangu na kazi za mikono yangu Mungu ameziona, akakukemea usiku huu. Yeremia 29 : 11 "Maana ninajua mawazo ninayowawazia... mawazo ya amani, si ya mabaya, kuwapa tumaini siku zenu za mwisho." Baba katika jina la Yesu, watoto wangu hawataishi maisha ya bahati nasibu. Waongoze katika njia ya kusudi lako. Wasaidie kugundua na kutimiza kusudi lako juu ya maisha yao. Ondoa kila mtu, kila kitu, na kila mazingira yanayoweza kuwazuia kutimiza hatima yao. Kwa jina la Yesu, Amina. "Mwenendo wa mpumbavu huwaharibu marafiki wake." Methali 13 : 20 20 Enenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia. "Uzao wa mtu mwenye haki utabarikiwa." Zaburi 112 : 2 2 Wazao wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa. Baba katika jina la Yesu, naomba watoto wangu waingie katika ndoa takatifu na yenye baraka. Wafundishe subira na hekima ya kuchagua mwenza sahihi kwa wakati wako. Bariki kizazi chao na uweke agano lako juu ya familia zao. Kwa jina la Yesu, Amina. Mhubiri: Mwl.James Kamera. Kwa maombi na ushauri : Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053 Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga Simu: +255 713 553 443 YouTube: Kijitonyama Lutheran church Barua Pepe : [email protected]