У нас вы можете посмотреть бесплатно TIRA wasema walioathirika na ajali ya Precision Air wana haki ya kupata fidia ya bima или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini (TIRA) imesema watu walioathiriwa na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Jumapili iliyopita mkoani Kagera na kusababisha vifo vya watu 19 wana haki ya kupata fidia kutoka shirika la bima ambalo kampuni ya Precision Air iliingia nayo mkataba. Mbali ya watu hao pia shirika hilo lina haki ya kulipwa bima kutokana na ajali hiyo.