У нас вы можете посмотреть бесплатно Mradi wa Liganga na Maganga Matitu kuanza hivi karibuni или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, leo tarehe 18.02.2025 ameendelea na ziara yake ya kikazi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe na kufika kwenye Mradi mkubwa na wa Kielelezo wa Chuma cha Liganga pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu inayosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) Waziri Jafo amesema mMadi huu unaweza kuanza mwaka huu 2025 kwani wataalum wa NDC kwa niaba ya Serikali pamoja na wawakilishi wa Mwekezaji wanakamilisha vipengele vya kimkataba ili Mradi huo uweze kuanza.