У нас вы можете посмотреть бесплатно SH882 BILIONI ZA UJENZI WA BANDARI YA KWALA ZILIVYOCHOCHEA MAGEUZI YA VIWANDA PWANI или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Pwani. Huenda foleni ya malori ndani ya Jiji la Dar es Salaam ikawa inaelekea ukingoni baada ya bandari ya Kwala kuanza kuhudumia mizigo inayoshushwa bandari. Hiyo ni baada ya kontena 700 kuwa tayari zimehudumiwa katika bandari hiyo huku idadi yake ikikadiriwa kuongezeka zaidi pindi bandari hiyo itakapounganishwa na reli ya kisasa (SGR) hivi karibuni. Bandari hiyo kavu inatarajiwa kuhudumia kontena 823 kwa siku zikiwamo zinazokwenda nchi jirani ikiwa ni sawa na kontena 300,395 kwa mwaka sawa na asilimia 30 ya kontena zinazohudumiwa na Bandari ya Dar es Salaam kwa sasa. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Machi 16, 2025 na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa wakati akizungumza na wanahabari baada ya kutembelea mradi wa kongani ya viwanda mkoani Pwani sambamba na bandari kavu ya Kwala iliyojengwa chini ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA). Video na Khatibu Mgeja. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj