У нас вы можете посмотреть бесплатно Producer wa Mwanza ya RAY VANNY, I Miss U ya HARMONIZE, Raha ya MARIOO, Black afunguka KUACHA muziki или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Wiki hii producer Digunge Mtunda Khabhenga Black Beatz amewashtua mashabiki wa muziki wa Tanzania baada ya kudai anaachana na muziki. Black ambaye anatokea Morogoro, ametayarisha hits kibao zikiwemo Raha, Ifunanya, Manyaku, Anyinya za Marioo, Hakuna Kulala ya Zuchu, Mwanza ya Ray Vanny, I Miss You ya Harmonize, Vunga ya Rapcha na zingine. Kazi zake latest ni Temptation na Uncle za BrianSimba na pia akihusika kutayarisha album nzima ya Brian ‘Uncle’ itakayotoka August mwaka huu. Amefanya production kadhaa kwenye album ijayo ya Tommy Flavour, Heir To The Throne. Nimezungumza naye kwa kina kuhusiana na uamuzi wake, na ameniambia sababu za kuamua hivyo. Pia nimezungumza na Brian Simba, Rapcha na Tommy Flavour kuhusiana na walivyozichukulia taarifa hizo