У нас вы можете посмотреть бесплатно Familia ya mwanamume aliyeskumwa kutoka kwa basi la abiria yaomba uchunguzi wa kina wa kifo chake или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Familia ya mwanamume aliyeripotiwa kusukumwa kutoka kwenye basi la abiria kwenye barabara ya Kitengela - Namanga sasa inataka uchunguzi wa kina kufanywa kuhusu kifo tata cha jamaa yao. Familia ya Joseph Mureithi inadai kuwa alisukumwa kutoka kwenye basi lililomkanyaga na kisha kuondoka kutoka eneo la tukio. Polisi tayari wamemkata dereva na kondakta wa basi hilo