У нас вы можете посмотреть бесплатно Malebo Ameokoka Changamoto ni Wake zake Watano/Majina Ya Watoto Wangu. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
Mchungaji Na Muimbaji Mkongwe Wa Muziki Wa Injili East Africa Kutokea Hapa Nyumbani Tanzania Munishi Faustin Munishi aliyeimba nyimbo Maarufu Kama vile Malebo,Yesu Ni Mambo Yote Nk.,ameelezea Kuhusu Rafiki Yake Malebo ambaye alimuimba Katika Wimbo akimtaka kuokoka na Hatimaye ndugu huyo Malebo kwa sasa ameshaokoka na Anaisha Mkoani Kilimanjaro. Malebo anawanawake Watano,changamoto kubwa anayokutana nayo Ni kutakiwa kuachana nao na kubaki na mke mmoja,jambo ambalo linamtatiza Malebo. “Kwa kweli maandiko Yanatuambia kuwa mtu abaki kama alivyokutwa na Yesu,Kwa Maoni Yangu naona Malebo asiachane na Wale Wake zake ambao ndio aliamua kuwaoa na Wamezeeka sasa,akiwaacha Imekuwa mtihani mkubwa sana kwa kijana Yule” -Munishi Interview Hii Yote Inapatikana Youtube Channel Ya “PAZIA TV” usisahau Kusubscribe. Je Ukikutana Na Malebo Sasa Hivi Ungependa Kumshauri Nini?