У нас вы можете посмотреть бесплатно AJENGA NYUMBA YA MIL 200 KWENYE KIWANJA CHA MWENZAKE, MAHAKAMA YAAMURU IVUNJWE, MMILIKI AZUNGUMZA.. или скачать в максимальном доступном качестве, видео которое было загружено на ютуб. Для загрузки выберите вариант из формы ниже:
Если кнопки скачивания не
загрузились
НАЖМИТЕ ЗДЕСЬ или обновите страницу
Если возникают проблемы со скачиванием видео, пожалуйста напишите в поддержку по адресу внизу
страницы.
Спасибо за использование сервиса ClipSaver.ru
AJENGA NYUMBA YA MIL 200 KWENYE KIWANJA CHA MWENZAKE, MAHAKAMA YAAMURU IVUNJWE, MMILIKI AZUNGUMZA.. Taharuki ya aina yake imetokea alfajiri ya Oktoba 16, 2021 katika eneo la Mbezi Goigi jijini Dar, baada ya nyumba yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 200 kuanza kuvunjwa kwa kile kilichoelezwa kwamba imejengwa kwenye kiwanja chenye mgogoro. Mmiliki wa kiwanja hicho, Said Ukwaju anadai kwamba ameshinda katika kesi iliyokuwa mahakamani na kupewa ruhusa na mahakama ya kuvunja nyumba hiyo, ambayo mmiliki wake ni mwanamke anayeitwa Camela Lema. Global TV imefika eneo la tukio na kuzungumza na mtoto wa mwenye nyumba hiyo ambaye ameeleza kwa kirefu kuhusu sakata hilo. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline